iqna

IQNA

Nabi Musa
TEHRAN (IQNA) – Walipokabiliwa na watu waliokuwa na ukaidi na kukataa kuukubali ukweli hata iweje, Mitume wa Mwenyezi Mungu walitumia njia ya kujibu kwa namna fulani ili ukaidi na kiburi cha watu hawa kiweze kuvunjwa na kuzinduka roho zao.
Habari ID: 3477736    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/15

Mbinu ya Elimu ya Manabii; Musa / 21
TEHRAN (IQNA) - Kusamehe na kusamehe dhambi au makosa ya mtu licha ya kuwa na uwezo wa kulipiza kisasi ni sira au sera ya manabii na watu wema.
Habari ID: 3477461    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/19

TEHRAN (IQNA)- Nabi Musa ni eneo ambalo liko kilomita nane kusini mwa Jericho (Ariha) katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala wa Israel na inaaminika kuwa hapo ndipo lililo kaburi la Nabii Musa-Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake.
Habari ID: 3474619    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/30